TAFSIR SURAT AL-MAUN 107

107 - Al-Maa’uwn

Tokeo la picha la surat al w-Maun 107

  الْمَاعُون
Al-Maa’uwn: 107


بِسْمِ اللَّـهِ الرَّحْمَـٰنِ الرَّحِيمِ


أَرَأَيْتَ الَّذِي يُكَذِّبُ بِالدِّينِ ﴿١﴾
1. Je, umemuona yule anayekadhibisha malipo?


فَذَٰلِكَ الَّذِي يَدُعُّ الْيَتِيمَ ﴿٢﴾
2. Basi huyo ndiye anayemsukuma yatima.


وَلَا يَحُضُّ عَلَىٰ طَعَامِ الْمِسْكِينِ ﴿٣﴾
3. Na wala hahamasishi kulisha maskini.


فَوَيْلٌ لِّلْمُصَلِّينَ ﴿٤﴾
4. Basi Ole kwa wanaoswali ...


الَّذِينَ هُمْ عَن صَلَاتِهِمْ سَاهُونَ ﴿٥﴾
5. Ambao wanapuuza Swalaah zao.


الَّذِينَ هُمْ يُرَاءُونَ ﴿٦﴾
6. Ambao wanajionyesha (riyaa).


وَيَمْنَعُونَ الْمَاعُونَ ﴿٧﴾
7. Na wanazuia misaada ya matumizi madogodogo ya kawaida ya kila siku.

No comments

Powered by Blogger.