JIFUNZE tafsir Surat Alfaraq: 113


Tokeo la picha la surat 113

الْفَلَقْ
Al-Falaq: 113


بِسْمِ اللَّـهِ الرَّحْمَـٰنِ الرَّحِيمِ


قُلْ أَعُوذُ بِرَبِّ الْفَلَقِ ﴿١﴾
1. Sema: “Najikinga na Rabb wa mapambazuko.


مِن شَرِّ مَا خَلَقَ ﴿٢﴾
2. “Kutokana na shari ya Alivyoviumba.


وَمِن شَرِّ غَاسِقٍ إِذَا وَقَبَ ﴿٣﴾
3. “Na kutokana na shari ya giza linapoingia.


وَمِن شَرِّ النَّفَّاثَاتِ فِي الْعُقَدِ ﴿٤﴾
4. “Na kutokana na shari ya wanaopuliza mafundoni.


وَمِن شَرِّ حَاسِدٍ إِذَا حَسَدَ ﴿٥﴾
5. Na kutokana na shari ya hasidi anapohusudu.

No comments

Powered by Blogger.