JIFUNZE TAFSIR YA SURAT AL-FATHA.

KWA JINA LA MWENYEEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA MWENYE KUREHEMU 1

2. Sifa njema zote ni za Mwenyeezi Mungu, Mola Mlezi wa viumbe vyote; 2

3. Mwingi wa Rehema Mwenye Kurehemu; 3

4. Mwenye kumiliki siku ya malipo. 4

5. Wewe tu tunakuabudu, na wewe tu tunakuomba msaada. 5

6. Tuongoe njia iliyonyooka. 6

7. Njia ya ulio waneemesha, siyo ya walio kasirikiwa, wala walio potea. 7

No comments

Powered by Blogger.